X MAS OFFER FROM UK TO DAR ES SALAAM & MOMBASA CONTAINER 40FT ONLY £2150.PHONE: +44 783 369 2695 +44 0148 221 4949 +44 118 954 5890/+44 7876 126862

Tangaza Biashara Yako Hapa

THIS BLOG IS SPONSORED BY ESACARGO LTD UK ,SHIPPING COMPANY BASED IN UK. | FEEL FREE TO ADVERTISE HERE,Email:easternandsouthernafricacargo@gmail.com

Monday, 12 September 2011

BREAKING NEWS -NAIROBI KENYA


WATU zaidi ya 100 wamekufa baada ya kuzuka moto kwenye bomba la mafuta lililopasuka karibu na kituo kimoja cha eneo la viwanda jijini Nairobi.
Inaaminika wengi wa waliokumbwa na mkasa huo walikuwa wakiiba mafuta.

Kwa mujibu wa shirika la habari la Capital News, miili 102 ya watu ilikuwa imepatikana hadi mchana wa leo ambako kazi ya uokoaji ilikuwa ngumu kutokana na eneo lenyewe lilipo, na kulikuwa na wasiwasi kwamba huenda moto huo ungeenea katika makazi ya watu waishio karibu.

0 comments:

Post a Comment