Tovuti karibu 5000 za Kinorwejiani zimeshambuliwa na mahaka (hackers) kutoka nje ya Norway. Mahaka wengi wamekuwa wakiweka program za kijasusi kwa minajili ya kuiba koda (codes) na habari binafsi za walengwa. Hayo yamesemwa na Preben Nykoekken, mshauri mwandamizi wa masuala ya usalama wa Teknohama wa kampuni iitwayo Watchcom.
CCM yafika pabaya waziri awalipua Malecela, Mwakyembe, Anne Kilango
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango na mumewe ni miongoni mwa vigogo waliolipuliwa kwenye kamati ya Mwinyi.
Na Daniel Mjema,Dodoma
MALUMBANO makali yameendelea kuitikisa Kamati ya rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi baada ya makombora ya juzi kuelekezwa kwa Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango na mumewe, mzee John Malecela.
Kamati hiyo imekuwa ikipokea mashambulizi makali baina ya wabunge ambao wanaonekana kuwa vinara wa vita dhidi ya ufisadi na wale ambao wanaona kuwa vita hiyo inawalenga, kiasi cha kurushiana tuhuma nzito zilizo na mwelekeo wa kuchafuana.
Baada ya kulipuana Jumanne, juzi ilikuwa zamu ya Mama Kilango na mumewe Malecela wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Sophia Simba alipotoa tuhuma nzito akidai kuwa wawili hao pia wamekula fedha za ufisadi.
Habari kutoka vyanzo vyetu zilieleza kuwa Simba alidiriki kudai kuwa hata harusi ya makamu huyo wa zamani wa CCM na Kilango ilifadhiliwa na mtuhumiwa wa ufisadi, Jeetu Patel.
Patel kwa sasa ana kesi katika Mahakama ya Kisutu akituhumiwa kuiibia Benki Kuu (BoT) kwa kuchota takribani Sh11 bilioni kutoka katika Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA).
Akijieleza kwenye kamati hiyo, Simba alimtuhumu Malecela, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu katika serikali ya awamu ya kwanza, kuwa wakati akiwania kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM mwaka 2005, Jeetu Patel alimpa Sh200 milioni kwa ajili ya kampeni zake.
Malecela, ambaye wakati huo alikuwa makamu mwenyekiti wa CCM, aliondolewa mapema kwenye mbio za urais, ikiwa ni mara ya pili baada ya kuenguliwa tena mapema mwaka 1995.
Waziri huyo mwenye dhamana ya utawala bora akiwa na taasisi nyeti kama Takukuru na Idara ya Usalama wa Taifa, alizidi kurusha makombora kwa wanandoa hao, akisema Mama Kilango ni mnafiki na sio msafi kiasi cha kuwanyooshea wengine vidole wakati harusi na kampeni zake za ubunge zilifadhiliwa na mtuhumiwa huyo wa ufisadi.
Habari zinasema kuwa Mama Simba alikuwa akizungumza kwa kujiamini na kwa ujasiri na kumtuhumu Mama Kilango kuwa kelele zake zote zinatokana na nongwa ya “kuukosa U-first lady (kuwa mke wa rais).â€
Alieleza kuwa kelele zote za mbunge huyo wa Same Mashariki zinatokana na chuki na uchu wa madaraka na si kweli kwamba ni mpinga ufisadi, kwa mujibu wa mtoaji habari wetu.
Lakini Patel, alipoulizwa kuhusu tuhuma hizo za Waziri Simba kwamba alifadhili harusi ya Malecela na kampeni zake za urais, alionekana kustuka na kusema: "Haa...we nani kakwambia... Bwana ehee, mimi sijui lolote kuhusu hayo.
"Kwa sasa mimi najiangalia mwenyewe, nina matatizo yangu mengi nahangaika nayo."
Hata alipofafanuliwa kwamba, maneno hayo yalisemwa na Waziri Simba, alijibu: "Kama wao wamesema wenyewe huko, mimi sijui."
Naye Kilango alisema alishuhudia wakati wakati makombora hayo yakirushwa na kueleza kwamba anajiandaa kujibu mapigo.
Mbunge huyo machachari alisema anajua kwamba mambo yote yaliyosemwa, yanamlenga yeye na si mumewe Malecela.
"Mimi ni mwanasiasa... andikeni yote yaliyozungumzwa bila ya kuacha baadhi na siwezi kuwashtaki," alisema Kilango.
Mzee Malecela hakutaka kuzungumzia lolote kuhusu tuhuma hizo wakati alipoulizwa juu ya uhusiano wake na Patel na kama aliwahi kupokea kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kampeni.
Mbali na mzee Malecela na mkewe, Waziri Simba pia alimgeukia mwenyekiti mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akimtuhumu kuwa anaendesha vyombo vya habari vinavyoichafua CCM na serikali yake kwa maslahi yake binafsi.
Pia alimshambulia mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe na mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, akiwatuhumu kuwa ni watu wenye njaa na kwamba, wanalipwa fedha kufanya kazi hiyo.
Waziri Simba alisema kuwa hata tuhuma dhidi ya mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge na mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, zimetokana na chuki binafsi.
Simba alisema kuwa uchunguzi wa kashfa ya rada ulishamalizika na Chenge akasafishwa na kuongeza kwamba hata uchunguzi wa Richmond umebaini kulikuwa hakuna rushwa, kwa mujibu wa mtoaji habari wetu.
Suala la Richmond liliibuka tena mbele ya kamati hiyo ya Mwinyi wakati mbunge wa Bukoba Vijijini, Nazir Karamagi alipolalamika kuwa ripoti ya kamati teule ya Bunge iliyoozwa Dk Mwakyembe haikumtendea haki.
habari hizo toka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Karamagi alisema ripoti ya Richmond ilionea baadhi ya watu na akapendekeza iundwe tume huru kupitia mchakato huo kuona kama wana makosa ili haki itendeke.
Mbunge huyo ambaye alijiuzulu uwaziri baada ya Lowassa kuachia wadhifa wake wa waziri mkuu kutokana na kashfa hiyo, alisema maamuzi yake kuhusu Richmond yalitokana na mapendekezo ya Bodi ya Tanesco.
Naye Dk Mwakyembe alijibu hoja iliyotolewa Jumanne na mbunge wa Ukonga, Dk Makongoro Mahanga aliyedai kuwa ripoti ya Richmond ni 'feki', akisema tatizo la Dk Mahanga ni uelewa mdogo.
Kuhusu hoja ya Karamagi, Dk Mwakyembe alisema malalamiko yake si sahihi kwa sababu yapo maeneo mengi ambayo Karamagi alishiriki na yako bayana hayahitaji mjadala.
Aliwatahadharisha Wabunge kuacha kudodosa sana ripoti ya Richmond kwani watazidi kumchafua Lowassa na kwamba wanaweza kufungwa kwa sababu upo ushahidi dhahiri.
Dk Mwakyembe aliwataka viongozi wa CCM wenye tuhuma kuiga mfano wa Mzee Mwinyi aliyejiuzulu baada ya mauaji yaliyofanywa na vyombo vya dola mkoani Shinyanga.
Akizungumza mbele ya kamati hiyo, kwa mujibu wa vyanzo vyetu, alimshambulia spika wa Bunge, Samuel Sitta akidai kuwa kama si mizengwe, suala la Richmond lingemalizwa kwa taratibu za kichama.
Habari hizo zinadai kuwa Chenge, aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali, alisema Lowassa alizungukwa na kwamba kulikuwa na njama za kummaliza ingawa hakusema njama hizo zilifanywa na nani.
Chenge aliitetea serikali ya awamu ya tatu kuhusu kuingia mikataba mibovu na kusisitiza hakukuwa na uzembe kwani mikataba yote ilipitiwa na kukubaliwa na Baraza la Mawaziri.
Hata hivyo, mbunge wa Muleba Kusini, Wilson Masilingi alisimama na kuomba kutoa taarifa na kumwomba Mzee Mwinyi na kamati yake wawabane wabunge wanaodai wanasema ukweli.
Masilingi alipinga maelezo ya Chenge kuhusu mikataba na kusisitiza kuwa maelezo yake yalijaa ushabiki na kusema Baraza la Mawaziri liliridhia mikataba kutokana na ushauri wake (Chenge).
Mbunge wa Kwela, Dk Chrisant Mzindakaya, ambaye aliwahi kupata umaarufu kwa kulipua kashfa, aliwataka wabunge wakubali matokeo kuhusu Ripoti ya Richmond ili taifa lisonge mbele badala ya malumbano yasiyokwisha.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, Mzindakaya aliwataka wabunge wafahamu kuwa ripoti hiyo ilishapitishwa na Bunge na haiwezi kurejeshwa ianze tena upya.
Naye Dk Mlingwa (Shinyanga Mjini), alisema mpasuko unaoinyemelea CCM unatokana na chama hicho kuacha misingi yake ya kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi na badala yake kinawakumbatia wafanyabiashara.
Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Emanuel Nchimbi alitumia nafasi yake kuomba maridhiano ya wabunge wa CCM, kujenga moyo wa kusameheana ili chama kisonge mbele.
They started dozing after discussion on developmental aid. When they were deliberating on energy and power, they were sleeping.
When they were deliberating on economic development, they were sleeping.
When they deliberated on food security, they were asleep.
When they fixed interest rate on debtor's (African) loans, they were asleep.
When they deliberated on conflict resolution through dialogue they were already snoring.
They only woke up, to support motion for adjournment and signed the communique. Of course!, they need rest, they worked tirelessly back home clamping down their opponents and critics. They Spent the night strategising on the next move to subdue their opponents, embezle more resources.
Red Cross official Titus Mong'oi on the continuing rescue effort
Rescue efforts are continuing to save about 20 builders trapped after a multi-story building collapsed on the outskirts of Kenya's capital, Nairobi.
At least seven bodies have been pulled from the wreckage in Kiambu town, where the building was under construction.
The Red Cross told the BBC 18 people had been rescued and taken to hospital.
It is not clear what caused the collapse, but correspondents say Kenyan building companies are often criticised for flouting safety regulations.
Relatives of people feared trapped have gone to the site hoping to see their loved ones pulled out alive.
Titus Munguo of the Kenyan Red Cross society told the BBC's Focus on Africa programme that time was running out for people to be saved.
"If one more night is taken, we can only rescue bodies, not somebody alive."
Substandard buildings
Up to 50 workers were believed to have been on site at the time of the collapse.
Some of those trapped have made mobile phone calls to alert relatives.
The incident is not the first building collapse in Nairobi
A reporter for the Associated Press news agency said he saw a woman's body in the wreckage, while one rescued man told AP several people had been in the room with him when the building collapsed.
There have been suggestions that recent heavy rain in the area could have weakened the five-storey structure.
Kenya's architecture association last week issued a report, saying that 65% of the country's buildings do not meet the required standards.
One eyewitness reported hearing a loud bang when the building cracked before it collapsed.
The BBC's Will Ross in Nairobi says the incident was not the first of its kind in recent years.
Following the collapse of other buildings, there were calls for stricter building regulations to be enforced, says our correspondent.
But Nairobi is currently experiencing a construction boom, and companies are often criticised for cutting corners and failing to enforce strict safety measures as profitable high rises spring up over the city, he adds.
ROME, Italy (CNN) -- The Vatican said Tuesday it has worked out a way for groups of Anglicans who are dissatisfied with their faith to join the Catholic Church.
The Vatican says more Anglicans have expressed an interest in joining the Catholic Church.
The process will allow groups of Anglicans, including bishops and married priests, to join the Catholic Church some 450 years after King Henry VIII broke from Rome and created the Church of England, forerunner of the Anglican Communion.
The number of Anglicans wishing to join the Catholic Church has increased in recent years as the Anglican church has welcomed the ordination of women and openly gay clergy and blessed homosexual partnerships, said Cardinal William Joseph Levada, the head of the Vatican's Congregation for the Doctrine of the Faith.
"The Catholic Church is responding to the many requests that have been submitted to the Holy See from groups of Anglican clergy and faithful in different parts of the world who wish to enter into full visible communion," Levada said.
Levada said "hundreds" of Anglicans around the world have expressed their desire to join the Catholic Church. Among them are 50 Anglican bishops, said Archbishop Joseph Augustine Di Noia of the Congregation for Divine Worship.
The Anglicans will be able to retain their Anglican rites while recognizing the pope as their leader, Vatican officials said. The British monarch is the titular head of the Anglican church.
While married Anglican priests may be ordained as Catholic priests, the same does not apply to married Anglican bishops, Levada said.
"We've been praying for this unity for 40 years and we've not anticipated it happening now," Di Noia said. "The Holy Spirit is at work here."
The Church of England said the move ends a "period of uncertainty" for Anglican groups who wanted more unity with the Catholic Church.
Both groups have a "substantial overlap in faith, doctrine and spirituality" and will continue to hold official dialogues, the archbishops of Canterbury and Westminster said in a joint statement.
"Those Anglicans who have approached the Holy See have made clear their desire for full, visible unity in the one, holy, catholic and apostolic church," Levada said. "At the same time, they have told us of the importance of their Anglican traditions of spirituality and worship for their faith journey."
Preserving Anglican traditions, such as mass rites, adds to the diversity of the Catholic Church, he said.
"The unity of the church does not require a uniformity that ignores cultural diversity, as the history of Christianity shows," he said. "Moreover, the many diverse traditions present in the Catholic Church today are all rooted in the principle articulated by St. Paul in his letter to the Ephesians: 'There is one Lord, one faith, one baptism."